Господи! Спаси меня и мою семью от того, что они совершают».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Kisha Lūṭ akamuomba Mola wake, alipokata tamaa kuwa watamsikiliza, alisema, «Mola wangu! Niokoe mimi na uwaokoe jamaa zangu na kile wanachokifanya watu wangu cha uasi huu mchafu na (utuokoe na) adhabu yako itakayowapata.»