Глухие, немые, слепые! Они не вернутся на прямой путь.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Wao ni viziwi, hawaisikii haki kwa kuizingatia, ni mabubu, hawaitamki haki, ni vipofu, hawauoni mwangaza wa uongofu. Kwa hivyo, hawawezi kurudi kwenye Imani ambayo waliiacha na kuchukuwa upotevu badali yake.