Они не могут прислушаться к высшему сонму, и их забрасывают со всех сторон,
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Hawawezi hao Mashetani kufika kwenye viumbe vya juu, navyo ni mbingu na Malaika waliyomo ndani yake, wakapata kuwasikiliza wanapoutamka wahyi ambao Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Anauleta, unaokusanya sheria Yake na makadirio Yake, na wanavurumizwa vimondo katika kila upande,