Они не удерживали друг друга от предосудительных поступков, которые они совершали. Как же скверно было то, что они делали!
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Walikuwa, Mayahudi hawa, wakiyafanya maasia waziwazi, wakiridhika nayo na hawakuwa wakikatazana wao kwa wao maovu yoyote waliyoyafanya. Na hili ni katika vitendo vyao viovu. Na kwa hilo walistahiki kufukuzwa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu Aliyetukuka.