Это потому, что Аллах является Покровителем верующих, а у неверующих нет покровителя.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Hilo tulilowafanyia watu wa mapote mawili: pote la Imani na pote la ukafiri, ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu Ndiye Msimamizi wa Waumini na mwenye kuwanusuru, na kuwa makafiri hawana mwenye kuwasimamia wala kuwanusuru.