а также состраданием от Нас и чистотой. Он был богобоязнен,
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na tulimpa rehema na mapenzi kutoka kwetu na kusafika na madhambi. Na alikuwa ni muogopaji Mwenyezi Mungu Aliyetukuka na ni mtiifu Kwake, mtekelezaji yale Aliyoyalazimisha na ni mwenye kujiepusha na yale Aliyoyaharamisha.