E o Faraó, os seus antepassados e as cidades nefastas disseminaram o pecado.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na akaja mpita kiasi katika uasi Fir’awn na ummah waliomtangulia waliokanusha Mitume wao, na watu wakazi wa vijiji vya watu wa Lūṭ ambao majumba yao yaliwapindukia kwa sababu ya kitendo kibaya walichokifanya, cha ukafiri, ushirikina na mambo machafu.