Entrar
Entrar
Entrar
Selecione o idioma

Tafsir: Al-Haqqah 69:11

69:11
انا لما طغى الماء حملناكم في الجارية ١١
إِنَّا لَمَّا طَغَا ٱلْمَآءُ حَمَلْنَـٰكُمْ فِى ٱلْجَارِيَةِ ١١
إِنَّا
لَمَّا
طَغَا
ٱلۡمَآءُ
حَمَلۡنَٰكُمۡ
فِي
ٱلۡجَارِيَةِ
١١
Em verdade, quando as águas transbordaram, levamo-vos na arca.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Sisi, maji yalipopita kipimo chake, mpaka yakawa juu na kuangatika juu ya kila kitu, tuliwabeba watu wa asili zenu pamoja na Nūḥ ndani ya jahazi ambayo ilikuwa ndio sababu ya kuokoka Waumini na kuzamishwa makafiri,