E entre eles, há os que te escutam e, ao se retirarem da tua assembléia, dizem, àqueles, que foram agraciados com a sabedoria: Que é que foi dito agora? Tais são osque têm os seus corações sigilados por Deus, porque se entregam às suas luxúrias!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Miongoni mwa hawa wanafiki kuna wanaokusikiliza bila ya kuelewa, kwa madharau na kupuuza, mpaka wanapoondoka kutoka kwenye kikao chako, huwa wakisema wakiwaambia wale waliohudhuria kikao chako kati ya wale wenye ujuzi wa Kitabu cha Mwenyezi Mungu kwa njia ya shere, «Amesema nini Muhammad hivi sasa?» Hao ndio wale ambao Mwenyezi Mungu Amezipiga muhuri nyoyo zao, zikawa haziielewi haki wala hawaongokei kuifikia, na wakayafuata matamanio yao katika ukafiri na upotevu.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel