assim como com as Nossas clemência e pureza, e foi devoto,
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na tulimpa rehema na mapenzi kutoka kwetu na kusafika na madhambi. Na alikuwa ni muogopaji Mwenyezi Mungu Aliyetukuka na ni mtiifu Kwake, mtekelezaji yale Aliyoyalazimisha na ni mwenye kujiepusha na yale Aliyoyaharamisha.