En benadeelt niet de mensen in hun zaken en verricht geen kwaad op aarde, als verderfzaaiers.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
na msiwapunje watu chochote katika haki zao kwenye vipimo au mizani au vinginevyo, na msizidishe uharibifu katika ardhi kwa kufanya ushirikina, kuua, kunyang’anya, kuwatisha watu na kutekeleza vitendo vya uasi.