Wij misleidden jullie toen: voorwaar, wij waren misleiders."
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
« Ndipo tukawapoteza na njia ya Mwenyezi Mungu na ya kumuamini, kwa kuwa sisi wenyewe tulikuwa ni wapotevu kabla yenu. Na kwa hivyo tukapotea kwa sababu ya ukafiri wetu na tukawaangamiza nyinyi pamoja na sisi.»