(Zij zijn) doof, stom, en blind (van hart), daarom keren zij niet terug.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Wao ni viziwi, hawaisikii haki kwa kuizingatia, ni mabubu, hawaitamki haki, ni vipofu, hawauoni mwangaza wa uongofu. Kwa hivyo, hawawezi kurudi kwenye Imani ambayo waliiacha na kuchukuwa upotevu badali yake.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel