(Sumpah demi sumpah) sesungguhnya Tuhan kamu hanyalah Satu -
Tafsir
Lapisan
Pelajaran
Renungan
Jawapan
Qiraat
Hadis
kwamba muabudiwa wenu, enyi watu, ni Mmoja, Asiye na mshirika. Hivyo basi mtakasieni ibada na utiifu. Na Anaapa Mwenyezi Mungu kwa Anachotaka miongoni mwa viumbe Vyake. Ama kiumbe, hafai kuapa isipokuwa kwa Mwenyezi Mungu, kwani kuapa kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni ushirikina.