Lo concepì e, in quello stato, si ritirò in un luogo lontano.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Maryam akabeba mimba ya mtoto wa kiume baada ya Jibrili kupuliza kwenye mwanya wa kanzu yake, na pulizo hilo likafika kwenye uzao wake, na kwa sababu hiyo mimba ikaingia, na akaenda nayo mahali mbali na watu.