Quanto a quelli che non credono, a loro non fa differenza che tu li avverta oppure no: non crederanno.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hakika wale walioyakanusha yalioteremshwa kwako kutoka kwa Mola Wako, kwa njia ya kiburi na ujeuri, hakutapatikana kuamini kutoka kwao; ni sawa kwao ukiwa utawatisha na kuwaonya adhabu ya Mwenyezi Mungu au utaacha kufanya hivyo, kwa sababu wao wameamua kukakamia kwenye njia yao ya batili.