Mai il tuo Signore annienterebbe ingiustamente le città, se i loro abitanti agissero rettamente.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na hakuwa Mola wako, ewe Mtume, ni Mwenye kuuangamiza mji wowote miongoni mwa miji na hali watu wake ni wenye kufanya mambo mazuri katika ardhi, wenye kujiepusha na uharibifu na udhalimu; Yeye huwaangamiza wao kwa sababu ya udhalimu wao na uharibifu wao.