Cercano di ingannare Allah e coloro che credono, ma non ingannano che loro stessi e non se ne accorgono.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Wanaitakidi, kwa ujinga wao, kuwa wao wanamdanganya Mwenyezi Mungu na Waumini, kwa kudhihirisha kwao Imani na kuficha kwao ukafiri, na wao hawamdanganyi yoyote isipokuwa nafsi zao wenyewe, kwa kuwa madhara ya kudanganya kwao yanawarudia wao. Na kwa kuwa ujinga wao umekolea na nyoyo zao zimeharibika, huwa hawana hisia ya hilo.