Se non lo fate – e non lo farete – temete il Fuoco 1 , il cui combustibile sono gli uomini e le pietre, che è stato preparato per i miscredenti.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Mkiwa hamuwezi sasa, na hamtaweza wakati unaokuja kabisa, basi uogopeni Moto, kwa kumuamini Nabii, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, na kumtii Mwenyezi Mungu Aliyetukuka. Moto ambao kuni zake ni watu na mawe, umeandaliwa wenye kumkanusha Mwenyezi Mungu na Mitume Wake.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel