non beneficeranno di nessuna intercessione, a parte colui che avrà fatto un patto con il Compassionevole.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Makafiri hawa hawatakuwa na uwezo wa kumuombea yoyote. Watakaokuwa na uwezo huo ni wale waliochukua ahadi ya hilo mbele ya Mwingi wa rehema, nao ni wale waliomuamini Mwenyezi Mungu na Mitume Wake.