Ricorda Mosè nel Libro. In verità era un eletto, un messaggero, un profeta.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na utaje katika Qur’ani, ewe Mtume, kisa cha Mūsā, amani imshukiye. Kwa hakika, yeye alikuwa ni mteule aliyesafishwa, na alikuwa ni Mtume na ni Nabii miongoni mwa Mitume waliokuwa na uthabiti.