Tornò dai suoi portando [il bambino]. Dissero: «O Maria, hai commesso un abominio!
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hapo Maryam aliwajia watu wake, na yeye amembeba mtoto wake, akitokea mahali mbali. Walipomuona namna hiyo, walisema kumwambia, «Ewe Maryam! Umeleta jambo kubwa ulilolizua.