Masuk
Masuk
Masuk
Pilih Bahasa
12:1
الر تلك ايات الكتاب المبين ١
الٓر ۚ تِلْكَ ءَايَـٰتُ ٱلْكِتَـٰبِ ٱلْمُبِينِ ١
الٓرٰ ۫
تِلْكَ
اٰیٰتُ
الْكِتٰبِ
الْمُبِیْنِ
۟۫
Alif Lām Rā`. Ini adalah ayat-ayat Kitab (Al-Qur`an) yang jelas.
Tafsir
Lapisan
Pelajaran
Refleksi
Jawaban
Qiraat
Hadits
Alif, Lām, Rā’. Maneno yametangulia juu ya herufi zilizokatwa na kutengwa mwanzo wa sura ya Al-Baqrah. Hizi ni aya za Kitabu kilichobainika kilicho wazi katika maana yake, mahalalisho yake, maharamisho yake na uongofu wake.