ان علينا للهدى ١٢
إِنَّ عَلَيْنَا لَلْهُدَىٰ ١٢
اِنَّ
عَلَیْنَا
لَلْهُدٰی
۟ؗۖ
3
Ni juu Yetu, kwa fadhila Zetu na busara Yetu, kueleza njia ya uongofu yenye kufikisha kwa Mwenyezi Mungu na ya upotevu.