خذوه فغلوه ٣٠
خُذُوهُ فَغُلُّوهُ ٣٠
خُذُوْهُ
فَغُلُّوْهُ
۟ۙ
3
Hapo waambiwe walinzi wa Moto wa Jahanamu, «Mchukueni mhalifu huyu mfanya dhambi, ikusanyeni mikono yake shingoni mwake muitie pingu,