ااذا متنا وكنا ترابا ذالك رجع بعيد ٣
أَءِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًۭا ۖ ذَٰلِكَ رَجْعٌۢ بَعِيدٌۭ ٣
ءَاِذَا
مِتْنَا
وَكُنَّا
تُرَابًا ۚ
ذٰلِكَ
رَجْعٌ
بَعِیْدٌ
۟
3
«Je, tunapokufa na tukawa mchanga, itawezekana vipi kurejea baada ya hapo tukawa kama tulivyokuwa? Hayo ni marajeo ambayo kutukia kwake kuko mbali.»