Tâ, Sîn . Voici les versets du Coran et d’un Livre explicite, 1
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
«Tā Sīn» Yametangulia maelezo kuhusu herufi zilizokatwa na kutengwa katika mwanzo wa sura ya Al-Baqarah. Hizi ni aya za Qur’ani, nazo ni aya za Kitabu kitukufu zenye maana yaliyofunuka wazi zenye ushahidi waziwazi wa kuonyesha elimu zilizomo, hekima na Sheria.