Et mangez de ce qu’Allah vous a attribué de licite et de bon. Et craignez Allah, en qui vous avez foi !
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na mstarehe, enyi Waumini, kwa halali nzuri Aliyowapa Mwenyezi Mungu na kuwatunukia. Na mcheni Mwenyezi Mungu kwa kufuata amri Zake na kujiepusha na makatazo Yake. Kwani kumuamini kwenu Mwenyezi Mungu kunawalazimisha nyinyi kumcha Yeye na kumtunza[.