Ainsi fut exterminé le dernier reste de ces injustes. Et louange à Allah, Seigneur de l’Univers !
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Watu hawa walimalizwa na kuangamizwa walipomkanusha Mwenyezi Mungu na kumkanusha Mtume Wake; hakuna yoyote aliyesalia kati yao. Shukrani na sifa njema ni za Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Muumba na Mwenye kumiliki kila kitu, kwa kuwapa ushindi mawalii Wake na kuwaangamiza maadui Zake.