Allah donc les récompensera pour ce qu’ils ont dit par des Jardins sous lesquels coulent les ruisseaux, où ils demeureront éternellement. Et telle est la récompense des bienfaisants.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Mwenyezi Mungu Akawalipa, kwa waliyoyasema ya kujienzi kwa kuuamini kwao Uislamu na kutaka kwao kuwa pamoja na watu wema, mabustani ya Pepo ambayo, chini ya miti yake inapita mito, hali ya kukaa humo, hawatatolewa humo wala hawatahamishwa. Hayo ndiyo malipo ya wema wao wa maneno na vitendo.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel