Certes, Nous avions pris l’engagement des Enfants d’Israël, et Nous leur avions envoyé des Messagers. Mais chaque fois qu’un Messager leur venait avec ce qu’ils ne désiraient pas, ils en traitaient certains de menteurs et ils en tuaient d’autres.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Kwa hakika tulichukuwa ahadi ya mkazo kwa Wana wa Isrāīl katika Taurati kuwa watasikia na watatii na tukawapelekea kwa ahadi hiyo Mitume wetu. Lakini walivunja ile ahadi iliyochukuliwa kwao, wakafuata matamanio yao na wakawa kila akiwajia Mtume, miongoni mwa hao Mitume, kwa yale ambayo nafsi zao haziyataki, wanamfanyia uadui: wakawakanusha baadhi yao na wakawaua wengine.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel