Ceux qui ont mécru et obstrué le chemin d’Allah, Il a rendu leurs œuvres vaines.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Wale waliokataa kwamba Mwenyezi Mungu Ndiye Peke Yake Mungu wa kweli Asiye na mshirika, na wakawazuia watu na Dini Yake, Mwenyezi Mungu Atazifuta amali zao na kuzipomosha na Atawapa usumbufu kwa sababu ya amali zao hizo.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel