Et ne donnez pas aux gens moins que leur dû ! Et ne commettez pas de désordre et de corruption sur Terre.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
na msiwapunje watu chochote katika haki zao kwenye vipimo au mizani au vinginevyo, na msizidishe uharibifu katika ardhi kwa kufanya ushirikina, kuua, kunyang’anya, kuwatisha watu na kutekeleza vitendo vya uasi.