sauf celui qui se repent, croit et fait le bien : ceux-là entreront au Paradis et ne seront point lésés,
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Lakini aliyetubia dhambi zake miongoni mwao, akamuamini Mola wake na akafanya mema kusadikisha toba yake, hao Mwenyezi Mungu Atakubali toba yao, na wataingia Peponi pamoja na Waumini, na hawatapunguziwa chochote katika matendo yao mema.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel