Et si ton Seigneur l'avait voulu, Il aurait fait des gens une seule communauté . Or, ils ne cessent d’être en désaccord (entre eux), 1
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na lau Mola wako Alitaka, Angaliwafanya watu wote ni kundi moja, wako kwenye dini moja , nayo ni dini ya Uislamu. Lakini Yeye, kutakata na sifa za upungufu ni Kwake, hakutaka hivyo. Basi watu hawataacha kuendelea kutafautiana katika dini zao, na hayo ndiyo yanayoambatana na hekima Yake.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel