Pour y demeurer éternellement tant que dureront les cieux et la Terre - à moins que ton Seigneur décide autrement - car ton Seigneur fait absolument tout ce qu’Il veut.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Watakuwa ni wenye kukaa humo milele muda wa kuweko mbingu na ardhi, hivyo basi adhabu yao haitakatika wala haitakoma, bali ni adhabu ya daima iliyotiliwa mkazo, isipokuwa iwapo Mola wako atataka, kwa kuwatoa waliompwekesha waliofanya maasia baada ya muda fulani wa kukaa kwao Motoni. Hakika Mola wako ni Mwenye kufanya Analolitaka.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel