آیا کسانیکه در دلهایشان بیماری (نفاق) است گمان کردند که الله کینههایشان را آشکار نخواهد کرد؟!
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Au kwani wanadhani hao wanafiki kuwa Mwenyezi Mungu Hatovitoa vile vilivyomo ndani ya nyoyo zao vya uhasidi na kuuchukia Uislamu na wafuasi wake? Ndio, Mwenyezi Mungu Atamtenganisha mkweli kutokana na mrongo.