گفتند: «ای هود! برای ما دلیل روشنی نیاوردهای و ما به (خاطر) گفتار تو معبودهایمان را رها نمیکنیم، و ما به تو ایمان نمیآوریم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wakasema, «Ewe Hūd, hukutujia na hoja zilizo wazi juu ya usahihi wa yale unayotuitia. Na sisi si wenye kuwaacha waungu wetu tunaowaabudu kwa sababu ya maneno yako. Na sisi si wenye kukuamini wewe katika hilo unalolidai.