آنها از کار زشتی که انجام میدادند، یکدیگر را نهی نمیکردند، قطعاً بد کاری انجام میدادند!
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Walikuwa, Mayahudi hawa, wakiyafanya maasia waziwazi, wakiridhika nayo na hawakuwa wakikatazana wao kwa wao maovu yoyote waliyoyafanya. Na hili ni katika vitendo vyao viovu. Na kwa hilo walistahiki kufukuzwa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu Aliyetukuka.