و هنگامیکه به آنها گفته شود: «در زمین فساد نکنید» میگویند: «ما فقط اصلاحکنندهایم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wanapopewa nasaha wakome kufanya uharibifu katika ardhi kwa kukanusha na kuasi kutoa siri za Waumini na kuwategemea makafiri, huwa wakisema kwa urongo na kubisha, “Sisi ndio watu wakutengeneza.”