فاصبر صبرا جميلا ٥
فَٱصْبِرْ صَبْرًۭا جَمِيلًا ٥
undefined
undefined
undefined
undefined
۳
Basi vumilia, ewe Mtume, kule kufanya kwao shere na kutaka kwao wafikiwe na adhabu kwa haraka, uvumilivu usiokuwa na babaiko wala kumshtakia asiyekuwa Mwenyezi Mungu.