بل عجبت ويسخرون ١٢
بَلْ عَجِبْتَ وَيَسْخَرُونَ ١٢
undefined
undefined
undefined
undefined
۳
Bali ulistaajabu, ewe Mtume, kwa ukanushaji wao na kukataa kwao Kufufuliwa. Na la kustaajabiwa zaidi na lililo kubwa zaidi kuliko lile la kukataa kwao ni kwamba wao wanakucheza shere na kulidharau neno lako.