اگر ایمان داشته باشید، باقی گذاشته الله (از مال حلال) برای شما بهتر است، و من بر شما نگهبان نیستم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
«Kile kitakachosalia kwenu cha faida ya halali, baada ya kutimiza vipimo na mizani, kina baraka na ni chema kwenu kuliko kile mkichukuacho cha pato la haramu kwa njia ya kupunja na mfano wake. Iwapo nyinyi mnamuamini Mwenyezi Mungu kikweli, basi fuateni amri Yake. Na mimi si mtunzi kwenu wa kuwahesabia matendo yenu.»
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel