Son sordos, mudos y ciegos, y no volverán [al buen camino].
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Wao ni viziwi, hawaisikii haki kwa kuizingatia, ni mabubu, hawaitamki haki, ni vipofu, hawauoni mwangaza wa uongofu. Kwa hivyo, hawawezi kurudi kwenye Imani ambayo waliiacha na kuchukuwa upotevu badali yake.