para que no puedan escuchar lo que revelo a la asamblea más elevada [de ángeles y para que, si lo intentan,] les sean arrojados [los astros] por todas partes,
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Hawawezi hao Mashetani kufika kwenye viumbe vya juu, navyo ni mbingu na Malaika waliyomo ndani yake, wakapata kuwasikiliza wanapoutamka wahyi ambao Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Anauleta, unaokusanya sheria Yake na makadirio Yake, na wanavurumizwa vimondo katika kila upande,