Cuando se les decía: “No hay nada ni nadie con derecho a ser adorado salvo Dios”, respondían con arrogancia
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Hakika wale washirikina walikuwa duniani wakiambiwa, «Hapana mola anayepasa kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu,» na wakaitwa kwenye mwito huo na wakaamrishwa kuyaacha yanayopingana nao, wanaufanyia kiburi na kumfanyia kiburi aliyekuja nao.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel