Dios ha sellado sus corazones y sus oídos. Sobre sus ojos hay un velo y recibirán un castigo terrible [en el Infierno].
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Mwenyezi Mungu amewapiga muhuri nyoyo zao, masikizi yao na ameweka finiko juu ya macho yao ya kuonea kwa sababu ya ukafiri na ujeuri walionao, baada ya haki kuwabainikia. Mwenyezi Mungu hakuwaafikia kwenye uongofu. Wao watapata adhabu kali katika Moto wa Jahanamu.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel