Y aunque los quiera beneficiar con mi exhortación, tampoco les servirá de nada si es voluntad de Dios su desvío. Él es su Señor, y ante Él comparecerán”.
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
«Na hautawanufaisha nyinyi ushauri wangu na bidii yangu katika kuwalingania kwenye Imani, iwapo Mwenyezi Mungu Anataka kuwpoteza na kuwaangamiza. Yeye, kutakata na sifa za upungufu ni Kwake, Ndiye mwenye kuwamiliki, na Kwake Yeye mtarejeshwa kesho Akhera kwa kuhesabiwa na kulipwa.»
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel