والتين والزيتون ١
وَٱلتِّينِ وَٱلزَّيْتُونِ ١
وَالتِّیْنِ
وَالزَّیْتُوْنِ
۟ۙ
Mwenyezi Mungu Anaapa kwa tini na zaituni, nayo ni miongoni mwa matunda yanayojulikana.