والنهار اذا تجلى ٢
وَٱلنَّهَارِ إِذَا تَجَلَّىٰ ٢
وَالنَّهَارِ
اِذَا
تَجَلّٰی
۟ۙ
Na kwa mchana unapofunuka mwangaza wake kutoka kwenye giza la usiku.